Print this page

Uchovu wa wachezaji waivuruga Singida BS

By December 12, 2025 13 0
Hussein Massanza. Hussein Massanza.

DAR ES SALAAM

Na Mwandishi wetu

Singida Black Stars, imeandaa mkakati wa kuhakikisha katika kipindi hiki cha mapumziko, wanafanya maboresho machache ambayo yalikuwa ndani ya kikosi chao.
Kupitia kwa msemaji wao Hussein Massanza alisema kwamba, kupoteza kwenye mchezo wao dhidi ya TRA United, kumewafanya waone mapungufu mengi ndani ya klabu yao, ambayo kocha wao Miguel Gamond anakwenda kuyafanyia marekebisho.

Rate this item
(0 votes)
Japhet