Print this page

Sure boy awashangaa wachezaji vijana wa Tanzania

DAR ES SALAAM

NA NICHOLAUS KILOWOKO

Wakati kikosi cha Yanga SC, kikiendelea na mazoezi kujiandaa na mechi tano za mwisho za Ligi Kuu, mchezaji wa klabu hiyo, Salum Aboubakar maarufu Sure Boy, amefunguka siri ya wachezaji wengi vijana, kushindwa kuonesha uwezo wao viwanjani.
Sure Boy alikiri kuwa katika ligi kuu, ushindani umekuwa mkubwa sana, lakini pia ushindani huo unahitaji sana ubora wa wachezaji, lakini hilo limekuwa tofauti sana, kwa wachezaji wengi vijana, ambao pia wanapata nafasi ya kucheza, lakini hawajitoi kwa asilimia zote.

Rate this item
(0 votes)
Japhet