Login to your account

Username *
Password *
Remember Me

Create an account

Fields marked with an asterisk (*) are required.
Name *
Username *
Password *
Verify password *
Email *
Verify email *
Captcha *
Reload Captcha

Habari Za Nyumbani

Lilongwe, Malawi Baraza la Maaskofu Katoliki Malawi (Malawi Conference of Catholic Bishops: MCCB) limempongeza Profesa Arthur Peter Mutharika kwa kuchaguliwa kuwa Rais wa saba wa…
SOLWEZI, Zambia Katika Mkutano Mkuu wa 14 wa Baraza la Maaskofu wa Kusini mwa Afrika (IMBISA) katika Jimbo Katoliki la Manzini, Eswatini, Mwenyekiti wa Jumuiya…
Dar es Salaam Na Mwandishi Wetu Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mhashamu Sana Jude Thaddeus Ruwa’ichi, amewataka Waamini kutoruhusu kugubikwa…
Morogoro Na Mwandishi wetu Imeelezwa kwamba Ndoa Takatifu ya mume mmoja na mke mmoja, sasa imekuwa kama maigizo.Padri Ferdinand Mushi, Mwalimu wa Chuo Kikuu cha…
Dar es Salaam Na Mathayo Kijazi Dekano wa Dekania ya Mavurunza, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Padri Vivian Menezes- OCD, amewasihi Waamini kufahamu…
Tabora Na Mwandishi wetu Kauli ya Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (Tanzania Episcopal Conference: TEC), Mhashamu Wolfang Pisa, ya kuwataka Wakatoliki kulinda usafi…
Dar es Salaam Na Mathayo Kijazi Paroko wa Parokia ya Kristo Mfalme – Tabata, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Padri Cornelius Mashare, amewataka…
Zanzibar Na Mwandishi Wetu Tume ya Ushindani (FCC) na Tume ya Ushindani wa Haki Zanzibar (ZFCC), zimetia saini mkataba wa ushirikiano wenye lengo la kuhakikisha…
Manyoni Na Jackline Minja Katika kuelekea kwenye kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Wazee Duniani, serikali imeendelea kudumisha huduma bora kwa wazee, kwa kuhakikisha kundi…
Bukoba Na Mwandishi wetu Balozi na Mwanadiplomasia wa Vatican, Mhashamu Askofu Mkuu Novatus Rugambwa ambaye ni Mtanzania, amefariki Dunia Jumanne ya Septemba 16, mwaka huu…