Waamini wa Parokia ya Mtakatifu Joseph Cottolengo – Masaki - Kisarawe, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, wakiwa katika Adhimisho la Misa Takatifu ya Sakramenti Takatifu ya Kipaimara iliyoadhimishwa hivi karibuni parokiani hapo. (Picha na Mathayo Kijazi)