Katibu wa Halmashauri ya Walei Parokia ya Bikira Maria Mama wa Huruma - Mbezi Beach, Jimbo Kuu la Dar es Salam, Juliana Urio akiongoza maandamano wakati wa sherehe za Sikukuu ya Ekaristi Takatifu baada ya adhimisho la Misa Takatifu ya Sherehe ya Ekaristi Takatifu iliyoadhimishwa Dominika iliyopita parokiani hapo.