DAR ES SALAAM Na Celina Matuja Utume wa Kwaya Katoliki Tanzania (UKWAKATA), Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, wametajwa kuwa ndiyo wamekuwa wakikoleza Uinjilishaji…
KILIMANJARO Na Muhina Semwenda Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametoa wito kwa Watanzania kuepuka matumizi ya dawa za kulevya kwani yanaharibu nguvukazi ya Taifa, hasa kwa…
GEITA Na Mwandishi wetu Mbunge wa Jimbo la Busanda Tumaini Magesa ameahidi mwezi mmoja na nusu kukamilisha ujenzi wa bweni katika shule ya sekondari Lutozo…
Dodoma Na Julieth Sasili Serikali imeanza kufanya marekebisho ya kubadili muundo wa Baraza la Taifa na Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (National Environment Management Council:NEMC,)…
Dar es Salaam Na Mwandishi wetu Dekano wa Dekani ya Mtakatifu Thomas More, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Padri Romwald Mukandala, amewataka waamini…
Dar es Salaam Na Mwandishi wetu Askofu Msaidizi wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Mhashamu Henry Mchamungu, amewaonya watu wenye tabia ya kusengenya,…
Dar es Salaam Na Israel Mapunda Paroko wa Parokia ya Familia Takatifu, Mburahati, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Padri Vitalis Kassembo, amesema kwamba…
Dar es Salaam Na Mwandishi wetu Paroko wa Parokia ya Mtakatifu Bonaventura, Kinyerezi, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Padri Francis Hiza, amewasihi wanaume…