Login to your account

Username *
Password *
Remember Me

Create an account

Fields marked with an asterisk (*) are required.
Name *
Username *
Password *
Verify password *
Email *
Verify email *
Captcha *
Reload Captcha

Matukio Ya Wiki

Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Mhashamu Sana Jude Thaddaeus Ruwa’ichi akiwa na Mapadri na Viongozi wa UKWAKATA wa Jimbo baada ya Adhimisho la Misa Takatifu ya…
Paroko wa Parokia ya Mtakatifu Agostino Salasala, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Padri Peter Assenga, akiwa katika picha ya pamoja na Watawa wa Kike, Viongozi wa Kamati Tendaji…
Dekano wa Dekania ya Mtakatifu Thomas More, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Padri Romwald Mukandala ambaye pia ni Paroko wa Parokia ya Mtakatifu Kizito Kilongawima, jimboni humo akiwa…
Waamini wa Parokia ya Mtakatifu Yakobo Mkuu Mtume – Kijitonyama, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam wakiwa katika Adhimisho la Misa Takatifu ya Dominika iliyoadhimishwa parokiani hapo hivi karibuni.
Mapadri na Viongozi wa Halmashauri ya Walei kutoka Parokia mbalimbali za Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, wakifurahia jambo wakati wa mkutano wao, uliofanyika katika viwanja vya Kituo cha…
Paroko wa Parokia ya Bikira Maria Mlima wa Karmeli – Bunju, Jimbo Katoliki Teule la Bagamoyo, Padri Dominic akiwaombea Wakatekumeni wapya wanaojiandaa kubatizwa katika Mkesha wa Pasaka wakati wa Adhimisho…
Mbunge wa Jimbo la Njombe, Deo Mwanyika (wa nne katikati), akipokea Kombe kutoka kwa nahodha wa timu ya Utalingoro, Adalbert Ngole, baada ya timu hiyo kuibuka mshindi katika Mashindano ya…
Wanawake Wakatoliki Tanzania (WAWATA), Parokia ya Kristo Mfalme – Tabata, Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, wakishangilia moja ya matukio wakati ya Sherehe yao WAWATA Day Kiparokia, baada ya…
Waandishi wa Habari wakiwa kanisani wakifuatilia Adhimisho la Misa Takatifu ya Jubilei ya Wanamawasiliano, iliyoadhimishwa katika Parokia ya Bikira Maria Mama wa Fatima – Msimbazi, Jimbo Kuu Katoliki la Dar…
Page 1 of 20