Login to your account

Username *
Password *
Remember Me

Create an account

Fields marked with an asterisk (*) are required.
Name *
Username *
Password *
Verify password *
Email *
Verify email *
Captcha *
Reload Captcha

Habari Za Kimataifa

VATICAN CITY-VaticanMaadhimisho ya kumtangaza Mwenyeheri Carlo Acutis kuwa Mtakatifu yamesitishwa kufuatia kifo cha Papa Fransisko.Maadhimisho hayo yaliyokuwa yafanyike Dominika ya Aprili 27, mwaka huu yamesitishwa…
VATICAN City Mkutano Mkuu wa kwanza wa Makardinali umeanza Aprili 22 mwaka huu, ikiwa ni siku moja baada ya kifo cha Baba Mtakatifu Fransisko.Mkutano huo…
Dar es Salaam Na Mwandishi Wetu Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini(TFF), limeahidi kuendelea kuwekeza kwenye teknolojia ya Msaidizi wa Video (VAR) kwa kutoa elimu…
Watawa wawili wa Shirika la Dada Wadogo wa Mtakatifu Teresa waliokuwa wakifanya kazi katika shule moja huko Mirebalais, nchini Haiti, wameuawa na magenge yenye silaha…
Mansa, ZambiaParokia ya Mtakatifu Michael – Namwandwe, na Kanisa Kuu la Kupalizwa kwa Maria, Jimbo Katoliki la Mansa, imezindua rasmi Wiki ya Wagonjwa, mpango unaozingatia…
LUSAKA, Zambia Baraza la Maaskofu Katoliki nchini Zambia (Zambia Conference of Catholic Bishops: ZCCB) limezindua Kampeni ya kufuta madeni ya Mwaka wa Jubilei 2025, ikitoa…
VATICAN CITY, Vatican Wanajeshi na Polisi wametakiwa kutambua kwamba wameitwa na Mungu ili kutetea wanyonge, kulinda waamini, kuhamasisha watu kuishi kwa amani, pamoja na kuendeleza…
LUSAKA, Zambia Rais wa Zambia, Hakainde Hichilema amelishukuru Kanisa Katoliki nchini humo kwa kuunga mkono juhudi za kurekebisha na kupunguza madeni nchini humo.Katika ziara ya…
LUSAKA, ZambiaWakristo wamekumbushwa kuwa waaminifu wakimwamini Mungu, hata wakati wa changamoto za maisha wanazokutana nazo kila wakati.Hayo yalisemwa hivi karibuni na Askofu Mkuu wa Jimbo…
KAMPALA, UgandaRais wa Baraza la Maaskofu Katoliki nchini Uganda (Uganda Episcopal Conference: UEC), Askofu Anthony Joseph Zziwa (pichani kulia), ametoa wito wa kuzingatiwa upya kwa…
Page 1 of 7