MADRID, HispaniaBaada ya zaidi ya miaka 14 huko Atletico Madrid, kocha Diego Simeone ameanza kufikiria maisha mapya nje ya klabu hiyo, huku maswali kwa mashabiki,…
Nairobi, KenyaMshindi wa zamani wa Marathon ya New York Albert Korir, amepigwa marufuku kwa miaka mitano, baada ya kukubali kutumia dawa za kuongeza nguvu mwilini.
Dar es Salaam Na Nicolaus Kilowoko Wakati kukiwa na uchunguzi wa vitendo vya upangaji wa matokeo, katika mashindano mbalimbali ya soka Tanzania Bara, huko visiwani…
Newyork, MarekaniWaandaaji wa mashindano ya Milan-Cortina 2026, wanasema kuwa wanachunguza kwa nini medali za Olimpiki zinavunjika, baada ya wanariadha kadhaa kukumbwa na matatizo hayo.Washindi wawili…
London, UingerezaTottenham Hotspurs wako kwenye vita vya kushushwa daraja, anasema nahodha wa zamani wa Uingereza Wayne Rooney.Kichapo cha 2-0 kutoka kwa Manchester United, kiliongeza mwendo…
Pwani Na Mwandishi Wetu Kuelekea katika mbio za Boston Marathon, zitakazofanyika nchini Marekani mwezi Aprili mwaka huu, Mwanariadha Staff Sajenti Alphonce Simbu, amewaomba wadau wa…
LONDON, UingerezaTimu ya soka ya wanawake ya Jersey Bulls, imefanikiwa kuizaba Guildford Saints mabao 30-0, katika mechi ya Ligi ya Soka ya Wanawake ya Kaunti…