DAR ES SALAAM Na Arone Mpanduka Mchezo wa skwashi ulianzishwa karne ya 19 nchini Uingereza. Ulianza kama mabadiliko ya mchezo wa racquetball, na kuendelezwa katika…
London, UingerezaTottenham wanasema wanachunguza madai kwamba kiungo Yves Bissouma, alirekodiwa akivuta nitrous oxide.Gazeti la The Sun lilichapisha picha, ambazo lilidai zilimuonesha mchezaji huyo wa kimataifa…
DAR ES SALAAM Na Mwandishi wetu Singida Black Stars, imeandaa mkakati wa kuhakikisha katika kipindi hiki cha mapumziko, wanafanya maboresho machache ambayo yalikuwa ndani ya…
DAR ES SALAAM Na Nicolaus Kilowoko Kocha mkuu wa klabu ya soka ya Yanga, Pedro Goncalves, amefunguka kuhusu umuhimu wa kufanya usajili, kuelekea katika dirisha…
Na Arone Mpanduka Mchezo wa kuchapana fimbo ni aina ya mchezo wa jadi, unaopatikana katika tamaduni nyingi za Kiafrika, ikiwemo Afrika Mashariki hasa Somalia (Istunka),…
Miami, MarekaniPambano la maonyesho la Jake Paul dhidi ya Bingwa wa Dunia wa uzani wa lightweight Gervonta Davis limeahirishwa.Pambano hilo, lililopangwa kufanyika Novemba 14 mwaka…
Manchester, UingerezaCristiano Ronaldo amesema Meneja wa Manchester United Ruben Amorim hatofanya miujiza kwa sababu kwa sasa klabu haipo katika njia nzuri.Mshambuliaji huyo wa Ureno mwenye…
DAR ES SALAAM Na Nicholausi Kilowoko Timu ya Umoja wa Maveterani wa Soka Tanzania (UMSOTA), imeahidi kuendelea kushiriki mashindano mbalimbali ndani na nje ya nchi,…