DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Klabu ya soka ya Singida Black Stars, imesema kwamba ilishindwa kujizuia baada ya ofa nzito kutoka Simba SC, iliyomtaka…
DAR ES SALAAM, Na Arone Mpanduka Mchezaji wa zamani wa Taifa Stars, Ally Mayay, amesema kuwa marehemu Peter Manyika amemuachia elimu kubwa ya soka, hasa…
DAR ES SALAAM Arone Mpanduka Michel Kuka Mboladinga, ambaye pia anajulikana kama Michel Kuka, Michel Nkuka, au kwa jina la utani “Lumumba” na “Lumumba Vea”,…
London, UingerezaKiungo wa kati wa Tottenham, Rodrigo Bentancur, anahitaji upasuaji wa misuli ya paja, na anatarajiwa kukosa angalau miezi mitatu.Mchezaji huyo wa kimataifa wa Uruguay,…
London, UingerezaMshindi wa fainali wa zamani wa Wimbledon, Milos Raonic, alisema kwamba amekuwa mtu mwenye bahati zaidi kutimiza ndoto zake, alipotangaza kustaafu kutoka tenisi.Mkanada huyo…
DAR ES SALAAM Na Mwandishi wetu Shirikisho la ngumi Tanzania (BFT), limeandaa mikakati ya kumleta bondia maarufu duniani, Manny Pacquiao, nchini Tanzania, kwa ajili ya…
NA PAUL MABUGA Ilikuwa ni usiku wa vilio, hasira, lakini pia fahari kubwa. Jumapili iliyopita nchini Morocco, dunia ilishuhudia vijana wa Taifa Stars wakiondolewa kwenye…